Pages
Thursday, July 26, 2012
New hit from Ngwear FT Mirror - Maskini WENZANgU na verse zake
Intro: cowwizy ,ybm
Verse 1:
wachache ndo wanaishi wengi wetu ma escorts,
twiga wanapanda pipa hata bila ya passports,
mikoa mingi bado haina hata airports,
zaidi ya migodini madini kuya export,
bila ya wazawa kufaidika,
ndo mana wazanzibara wamechoka kutanga na nyika,
big up Mandela leo South sio Africa,
waliotangulia kupata uhuru bado wanapigika,
bidhaa zilizo expire kutubambika,
meli zinazidi zama wengi daily tunawazika,
wenye hali duni ndo tunao athirika,
wao ma vx yao ni special order uhakika,
tutalia machozi ya damu mpaka yata form bahari,
na tutaogelea wenyewe na watu hawajali,
leta mgomo baridi uijue serikali then muulize Ulimboka umuhimu wa Madaktari let's go
Chorus
(bado nalia tu na Tanzania yangu/kweli mali ni nyingi wale wachache wenzangu/me nalia na masikini wenzangu/eeh baba Mungu sikia kilo changu/issue is harder tuna suffer/sikia kilio changu/issue is harder tuna suffer/me nalia like..........)
Verse 2:
viongozi wa siasa kama viongozi wa dini,
mengi wanaongea coz silaha yao ni ulimi,
mh.spika Tanzania huru inazidi zeeka tayari ni miaka 50,
mengi mmetuahidi pia ahadi ni deni,
pia tunatambua umuhimu wa UN,
kupinga h.I.v,umaskini na rushwa and,
mabilioni yanayotumika kwa campgain,
kama za kupinga unyanyasaji wa watoto,
zisiishie kwenye promo na kuwalisha bado ndoto,
ishu sio kutupiana maneno bungeni,
bali watoto watoke mtaani warudi shuleni
,mkulima shambani anahitaji usafiri wa treni,
nyie piteni angani mazao yake muuzieni,
mpeni bei nzuri aweze mudu zaidi ya trector,
ni mawazo tu DIC usione nakuTATOR
(chorous)
Verse 3.
Tanu ilifanya kazi kubwa 61,
solution sio labda nchi wachukue upinzani,
bali mtanzania wa chini anaishi maisha gani,
watu wanakufa kwa njaa iweje tujivunie amani,
ni mengi tu mazuri yamefanyika mpaka sasa,
ila naamini bado tungekuwa mbali(hivi babu wa Loliondo nae inawezekana tu ilikuwa ni siasa)NO !(Lakini iko wapi hii kaburi ya Balali !?) Men ! Jibu unalo so usiulize swali,una dini ?
Mkristu sali na Muislam swali coz,
bado tunaishi ki mungu mungu,
Baada ya m weka z usikie kizungu zungu jinsi ukoloni unafanya mambo mpaka leo,
kuongoza jamii sio kumtawala mkeo,
najiuliza maisha yangekuwaje bila mziki,
hivi mtaani ingekuwa vp ? Ingekuwa mziki ...
(Chorous)
outro yeah chamber squad baby,one love,Tanzania,Muro jr I see ya ......
Till fade
Listen to Ngwear FT Mirror - Maskini WENZANgU Prod by Maneck on Hulkshare - Free Music Streaming & Download
@am goodboy
Wednesday, July 25, 2012
Oscar dos Santos asaini deal na Chelsea
Oscar, full name Oscar dos Santos Emboaba Junior, who will be 21 in September, is a Brazilian international who played for two clubs in his homeland prior to his move.
Having come through the youth system at Sao Paulo, he graduated to the first team in 2008, the same year he was part of the Brazil side that won the Under-17 World Championships. That feat had also been achieved the previous year.
His time at Sao Paulo came to an end in December 2010 with a move to Internacional, a club based in Porto Alegre in the very south of the country. In 2011 and 2012 they won the local state championship and Internacional also used Oscar as a substitute in the 2010 FIFA Club World Cup, the competition to be contested by Chelsea in December, although they suffered a shock defeat by Congolese side Mazembe.
Oscar, who played international football at every level from Under-15 to Under-20, made his debut for Brazil's senior side in September 2011, coming on as a substitute in a 0-0 draw against big rivals Argentina.
He made his full debut in a win over Denmark in May and his most recent cap, his sixth, was in June when he scored his first international goal although Brazil were beaten 4-3 by Argentina in New Jersey, USA, as Lionel Messi scored a hat-trick.
Oscar's most notable moment on the international stage so far was in the final of the Under-20 World Cup in Colombia when he scored a hat-trick in a 3-2 extra-time win against Portugal.
A 5ft 10in (1.79m) attacking midfielder who can play wide, he has a reputation for good pass-and-move football, protecting the ball and choosing the right moment to play passes.
He is currently part of Brazil's squad at the London Olympics. He played in the 2-0 win over Great Britain in the warm-up game last Friday.
@am goodboy
Having come through the youth system at Sao Paulo, he graduated to the first team in 2008, the same year he was part of the Brazil side that won the Under-17 World Championships. That feat had also been achieved the previous year.
His time at Sao Paulo came to an end in December 2010 with a move to Internacional, a club based in Porto Alegre in the very south of the country. In 2011 and 2012 they won the local state championship and Internacional also used Oscar as a substitute in the 2010 FIFA Club World Cup, the competition to be contested by Chelsea in December, although they suffered a shock defeat by Congolese side Mazembe.
Oscar, who played international football at every level from Under-15 to Under-20, made his debut for Brazil's senior side in September 2011, coming on as a substitute in a 0-0 draw against big rivals Argentina.
He made his full debut in a win over Denmark in May and his most recent cap, his sixth, was in June when he scored his first international goal although Brazil were beaten 4-3 by Argentina in New Jersey, USA, as Lionel Messi scored a hat-trick.
Oscar's most notable moment on the international stage so far was in the final of the Under-20 World Cup in Colombia when he scored a hat-trick in a 3-2 extra-time win against Portugal.
A 5ft 10in (1.79m) attacking midfielder who can play wide, he has a reputation for good pass-and-move football, protecting the ball and choosing the right moment to play passes.
He is currently part of Brazil's squad at the London Olympics. He played in the 2-0 win over Great Britain in the warm-up game last Friday.
@am goodboy
Sunday, July 22, 2012
Subscribe to:
Comments (Atom)
