If I were a month, I'd be September.
If I were a day of the week, I'd be Thursday.
If I were a sea creature, I'd be a sea turtle.
If I were a a time of day, I'd be 8PM.
If I were a direction, I'd be northwest.
If I were a piece of furniture, I'd be papasan chair.
If I were a liquid, I'd be a misty morning fog.
If I were a gemstone, I'd be smoky quartz .
If I were a tree, I'd be a Sycamore.
If I were a tool, I'd be a paintbrush.
If I were a flower, I'd be a black-eyed susan (of course).
If I were a kind of weather, I'd be Indian Summer.
If I were a musical instrument, I'd be a bodhran.
If I were a color, I'd be burnt orange.
If I were an emotion, I'd be hope.
If I were a fruit, I'd be a pear.
If I were a sound, I'd be wind in the trees.
If I were an element, I'd be earth.
If I were a mammal, I'd be a fox.
If I were a phase of the moon, I'd be a waxing crescent.
If I were a berry, I'd be a blackberry.
If I were a bird, I'd be a chickadee.
If I were a book, I'd be a travel guide.
am goodboy
Pages
Tuesday, July 31, 2012
Sunday, July 29, 2012
serikali tukumbukeni nasi vijijini
serikali mtindo wa kujengeana zahanati vijijni bila ambulance ni sawa kweli nyi mkiendelea kusafiri na kula viyoyozi kila siku bila kutukumbuka walala hoi wa vijijini na si dhani kama tutaweza kuunguza vifo vya wajawazito kwa mpango huo, ASANTE
@am goodboy
@am goodboy
ANDY CORROLL WILL NOT MOVE LIVERPOOL SAYS BRENDAN RODGERS
Liverpool manager Brendan Rodgers insists striker Andy Carroll is happy to stay at Anfield.
The England international has been linked with a move away from Merseyside after he struggled to make an impact since joining from Newcastle for �35million in January 2011.
His former club have, however, already had an initial offer to bring Carroll back to Tyneside turned down.
But Rodgers is adamant the striker, who came off the substitutes' bench in Liverpool's pre-season goalless draw against Tottenham in Baltimore on Saturday evening, is still in his plans for next season.
Asked if there had been any offers for Carroll, Rodgers said: "Not that I am aware of. Obviously I'll know more when we get back.
"There has been a lot written about Andy, but you saw today he's happy to be here and he's worked very well since he's been here.
"The reality is he's still a Liverpool player, he can fit into how I want to play, and he's happy here.
"I'm certainly not wishing to push him out of the door."!@am goodboy
AC MILAN WON vs CHELSEA MATCH REPORT: CHELSEA 0 AC MILAN 1
Summary
Four players were given 90 minutes of action for the first time in the pre-season but chances proved hard to create against the Serie A side who won it with a second-half strike.
A crowd of 57,748, the second highest for a football match in this stadium in Miami, saw the Blues the better side early on but we did not improve on an early John Terry shot as the best attempt on the Milan goal.
From midway through the opening period it was an even contest which was decided when Chelsea were caught by a piece of swift counter-attacking play. Fitness is coming on but there is still work to do on the training pitch before the season beginsTEAM NEWS
Raul Meireles was handed his first start of pre-season and played as the central midfielder behind Romelu Lukaku who began for the fourth match in row on this tour. The defense and two deeper midfielders were the first-choice selection at the end of the last campaign.
Eden Hazard played on the left with Ramires on the right.
Milan left Antonio Cassano on the bench and were without Robinho so started Kevin-Prince Boateng as centre-forward.last squad
to night.
Chelsea (4-2-3-1): Petr Cech; Branislav Ivanovic (Sam Hutchinson 75), David Luiz, John Terry (c) (Gary Cahill 58) Ashley Cole (Paulo Ferreira 58); John Mikel Obi, Frank Lampard (Michael Essien 75); Ramires (Florent Malouda 75), Raul Meireles (Marko Marin h-t), Eden Hazard; Romelu Lukaku (Fernando Torres 58).
Unused subs Jamal Blackman, Nathaniel Chalobah, Lucas Piazon.
AC Milan (4-2-3-1): Marco Amelia; Luca Antonini (Ignazio Abate 60), Daniele Bonera, Mario Yepes (Francesco Acerbi 60),, Djamel Mesbah; Massimo Ambrosini (Antonio Nocerino 60), Mathieu Flamini (Riccardo Montolvio 60); Urby Emanuelson (Simone Andrea Ganz 86), Bakaye Traore (Kevin Constant 79), Stephen El Shaarawy, Kevin Prince-Boateng (Mattia Valoti 73).
Unused subs Mattia De Sciglio, Bryan Cristante, Edoardo Pazzagli, Philipp Prosenik, Antonio Cassano.
Goal Urby Emanuelson 68.
Referee Ricardo Salazar
Attendance 57,748.
@am goodboy
Saturday, July 28, 2012
Watu wenye tabia hii husababisha mapenzi kuwa magumu
BILA shaka msomaji umzima bukheri wa afya na unaendelea na majukumu yako kama kawaida. Leo tunaendelea na mada yetu tuliyoianza wiki kadhaa zilizopita. Tuwemo...
Mimi kama mshauri wa saikolojia ya mapenzi, sikubaliani na hitimisho la Ali Kiba kuishi singo na kumalizana leoleo, badala yake nachochea mabadiliko chanya kwa watu ambao wamemfanya mwanamuziki huyo apate sababu ya kuyaponda mapenzi ya sasa, hivyo kutaka kila mtu awe na mtazamo wa kuwa singo.
Mimi kama mshauri wa saikolojia ya mapenzi, sikubaliani na hitimisho la Ali Kiba kuishi singo na kumalizana leoleo, badala yake nachochea mabadiliko chanya kwa watu ambao wamemfanya mwanamuziki huyo apate sababu ya kuyaponda mapenzi ya sasa, hivyo kutaka kila mtu awe na mtazamo wa kuwa singo.
SULUHU NI NINI
Hupaswi kuishi singo, kwani athari zake zipo. Ukisema huyataki kabisa mapenzi, kuna kundi litakalokuvalisha kesi kuwa mambo yako si mazuri. Naijua vizuri jamii yetu, mwanaume anaweza kuambiwa jongoo wake hapandi mtungi, wakati ushahidi hana.
Ukisema uwe unarukiarukia watu hovyo, kama ambavyo wengine wanafanya (kumalizana leoleo tu), huko ni kupotea sana. Maradhi yamezunguka kila upande, hivyo utajikuta unatengeneza mtandao mkubwa wa ngono bila wewe mwenyewe kujijua.
Unatakiwa kutulizana halafu ushike maelekezo ambayo tunayatoa ili kuyakabili mapenzi ya sasa. Ukimuona mwenzako bado anasumbuliwa na fikra za usistaduu badala ya kuyaheshimu mapenzi, mpishe mapema kabla hajakuumiza ukalia. Yule anayezuzuliwa na ubrazameni, mpe njia yake aende. Maisha yako ni matamu bila yeye. Zingatia.
Hatua muhimu zinaanza na wewe. Kama tabia mbaya ambazo nimekuwa nikizizungumza zipo ndani yako, tafadhali, jirekebishe haraka. Endapo wewe upo sawa na umebaini kuwa huyo unayemwita mwenzi wa maisha yako ana vitabia visivyofaa, muepuke haraka.
Ninaposema hatua muhimu zinaanza na wewe namaanisha katika pande kuu mbili. Mosi ndiyo hiyo ya wewe mwenyewe kujirekebisha pale unapoona unachemka. Pili ni kuachana na mwenzi ambaye anasumbuliwa na vitabia ambavyo nimevibainisha kinagaubaga tangu mwanzo wa makala haya.
Hupaswi kuishi singo, kwani athari zake zipo. Ukisema huyataki kabisa mapenzi, kuna kundi litakalokuvalisha kesi kuwa mambo yako si mazuri. Naijua vizuri jamii yetu, mwanaume anaweza kuambiwa jongoo wake hapandi mtungi, wakati ushahidi hana.
Ukisema uwe unarukiarukia watu hovyo, kama ambavyo wengine wanafanya (kumalizana leoleo tu), huko ni kupotea sana. Maradhi yamezunguka kila upande, hivyo utajikuta unatengeneza mtandao mkubwa wa ngono bila wewe mwenyewe kujijua.
Unatakiwa kutulizana halafu ushike maelekezo ambayo tunayatoa ili kuyakabili mapenzi ya sasa. Ukimuona mwenzako bado anasumbuliwa na fikra za usistaduu badala ya kuyaheshimu mapenzi, mpishe mapema kabla hajakuumiza ukalia. Yule anayezuzuliwa na ubrazameni, mpe njia yake aende. Maisha yako ni matamu bila yeye. Zingatia.
Hatua muhimu zinaanza na wewe. Kama tabia mbaya ambazo nimekuwa nikizizungumza zipo ndani yako, tafadhali, jirekebishe haraka. Endapo wewe upo sawa na umebaini kuwa huyo unayemwita mwenzi wa maisha yako ana vitabia visivyofaa, muepuke haraka.
Ninaposema hatua muhimu zinaanza na wewe namaanisha katika pande kuu mbili. Mosi ndiyo hiyo ya wewe mwenyewe kujirekebisha pale unapoona unachemka. Pili ni kuachana na mwenzi ambaye anasumbuliwa na vitabia ambavyo nimevibainisha kinagaubaga tangu mwanzo wa makala haya.
UTAMJUAJE SISTADUU/BRAZAMENI
Nimeshakupa suluhu lakini kuna uwezekano ukawa hujafunguka inavyotakiwa. Hivyo basi, nakupa dondoo kadhaa ambazo nazichambua kwa kifupi ili kukuwezesha kutambua maana halisi ya kile ambacho nimekuwa nikikitambulisha tangu mwanzo mpaka kufikia hapa tunapokwenda kwenye tamati ya mada hii.
Nimeshakupa suluhu lakini kuna uwezekano ukawa hujafunguka inavyotakiwa. Hivyo basi, nakupa dondoo kadhaa ambazo nazichambua kwa kifupi ili kukuwezesha kutambua maana halisi ya kile ambacho nimekuwa nikikitambulisha tangu mwanzo mpaka kufikia hapa tunapokwenda kwenye tamati ya mada hii.
MTEGO WA FEDHA
Ipo wazi kuwa walengwa ni watu wanaobudu sana fedha kuliko utu. Unaweza kufanya kila linalohitajika kufanywa na wa jinsia yako kwa mpenzi wako lakini mwisho ukaishia kuumia. Utaonesha upendo na namna unavyojali lakini matokeo ya mwisho utaachwa solemba, huku ukilia kilio cha kusaga meno.
Anaweza kuwa nawe kwa sababu anavuta muda au anasubiri mambo yake yamnyookee akuache solemba.Ipo wazi kuwa walengwa ni watu wanaobudu sana fedha kuliko utu. Unaweza kufanya kila linalohitajika kufanywa na wa jinsia yako kwa mpenzi wako lakini mwisho ukaishia kuumia. Utaonesha upendo na namna unavyojali lakini matokeo ya mwisho utaachwa solemba, huku ukilia kilio cha kusaga meno.
@am goodboy
Subscribe to:
Comments (Atom)

