mhanila

mhanila
KUMBUKA KAMA UNAONA PESA INAINGIA MIFUKONI UJUE IPO SIKU ITATAFUTA PAKUTOKEA

Friday, July 6, 2012

HIVO NDO VITU VYA ARDHI UNIVERSITY HIVO

                                                                mzigo upogi kwa paper
                                                      mzee mzima nkausimamia mzigo ukatoka
                                                              thanks to God for his support
                                        thanks my modelment for your  support mpka mzigo  ukatoka poa
                                                             
@am goodboy

matukio ya semister nzima


Tuesday, July 3, 2012

NDOA ZA JINSIA MOJA MPAKA FB

Baada ya mmoja wa waanzilishi wa Facebook Chris Hughes ‘kuolewa na mpenzi wake wa siku nyingi  Sean Eldridge huko New York City, Marekani, jumamosi iliyopita, mtandao huo maarufu wa kijamii umeamua kuanzisha alama ya kuonesha status kwa wapenzi wa jinsia moja.
Kwa kawaida wakati watu wanapobadilisha status kutoka single, engaged ama it’s complicated na kwenda 'married' kulikuwa na kiicon cha mwanaume akiwa na mwanamke kwenye timeline, lakini sasa hivi kuna alama imeongezeka ya mwanamke akiwa na mwanamke ama mwanaume akiwa na mwanaume.
                                          ukisema wanaume mumeumbwa mateso
                                              kuwa kama hao uepuke matesoo
Facebook banaaaaa!
am goodboy

Monday, July 2, 2012

SIHITAJI MARAFIKI

Machizi sikusoma nao, tulikutana tu mtaani/ udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani X2/


haijalishi ulikua na wangapi bali wangapi uko nao..washkaji ambao... kosa lako lao wakati hauna mafao/wanaokufikiria wewe muda ambao/ wenzao walionao wanafikiria wengine ndo wanao/now
kupata washkaji ukiwa na pesa... ni rahisi/
kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi mie sikufichi sihitaji urafiki na usupastaa/ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../ kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid  ni underground/sikuhizi mabinti wanaomiss ni walionidiss mie sio mdau/
wanakubali mie ni mkali wanataka  kuijua Mmwanza
ninayoitangaza nikiwa safari kama habari za kwanza/
U-N-I-T na prof Ludi walionifunza kukaza...
kwetu mbali.. sijui lini nitarudi? (C) Lokua kanza/
sihitaji marafiki, labda baadaye wakitokea/aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea


Verse 2;
na usupastaa huwa ni feki.. utakung'arisha ukiwa na Market/
utakupatia senti,utapita juu ya red carpet/
utageuka young & restless, utakupa wanawake/utakupa mafake brethrenz.. kisha utaenda zake/kwahiyo power its not permanent.. huwa ipo kwa muda tu/respect ur own conglomorete... fikiri kikubwa tu/masaa hayarudi nyuma kama muda wa kufuturu walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru/
wanazusha najiskia.. so im my own best friend/
sikia fidq anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/
naweza nikakata ringi kiasi cha kutopay attention, lakini sio tajiri wakuafford kuua true friendship/
tuweke siasa kando sababu kichwa kinanigonga/na hizi falsafa double double ajabu sio kinywa cha mjomba/
sihitaji marafiki, labda baadaye wakitokea/aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea



VERSE 3
rafiki wa kweli yukoje.. ni mkimya au anayechonga/yule aliyekupa jina?au pengine anayekuponda? anayezuia usidondoke au  anayesubiria kukuokota?/au ni yule ambaye ukimuudhi anakutusi kabla hajaondoka?/ hakuna adui mbaya ka rafiki yako mwenyewe ambaye hajui.. ka yupo nawe.. au yupo kinyume na wewe/bora adui.. kama hachachawi utaenda muomba akuelewe/
ka buibui.. naweka tandu mtaenda kando mzingue?/
kwani machizi wenyewe wako wapi ambao wanastahiki niwape vyeo/ inabidi tu uwaache wakuwatch kwenye kideo/unakula nao happy leo.. kesho wanamtaka mkeo/urafiki sitaki.. hauletagi maendeleo../
nilitamani kuwa mjamaa niwe genge kama nature/
wachache niliowafanya wakang'aa wanayaweka maisha yangu in danger/
sihitaji marafiki, labda baadaye wakitokea/aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
@am goodboy

Highly disapointing situations:


1. Ur Bst frnd weds ur lover;

2. A close friend avoiding without reason;


3. 10 mark question asked for 2mark;

4. Principal sitting near u on tour;

5. Xtremly gud lukin guy/gal crosing u wen u r wid ur mom/dad;

6. Teachrs distributing ur test papers in front of your juniors wen ur score is below average;

7. Frnd calling on b'day n not wishing;

8. Dear 1 suddenly stopped msgng;

9. Leaving dis post without liking it too..
@am goodboy

Fid Q Feat. Yvonne Mwale - Sihitaji Marafiki (Official Video)



am goodboy
BREAKING NEWS: Madaktari Bingwa nao wagoma

Mgomo wa madaktari nchini Tanzania
umechukua sura mpya baada ya Madaktari
Bingwa nao kutangaza rasmi kugoma kwa
madai kuelemewa na mzigo wa wagonjwa.
@am goodboy